RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapiunduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Profesa Robert .C,Spear, wa Chuo Kikuu cha California, alipowasili katika ukumbi wakati wa hafla ya kuzungumza na Ujumbe wa WHO na Madaktari wa Kichina waliosimamia Mradi wa Kupambana na Kichocho Zanzibar.(Picha na Ikulu).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Balozi Mdogo wa China anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Xie Xiaowu, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa WHO Dr. Dirk Engels, wakati walipofika na Ujumbe wa Madaktari wa Kichina Waliosimamia Mradi wa Kupambana na Kichocho Zanzibar, kushoto kwa Rais Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe. Xie Xiaowu, (Picha na Ikulu)
  BAADHI ya Madaktari wa Kichina waliosimamia Mradi wa Kupambana na Kichocho Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,10-5-2019.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa WHO na Madaktari wa Kichina Waliosimamia Mradi wa Majaribio ya Kupambana na Kichocho Zanzibar, kushoto Balozi Mdogo wa Chini Zanzibar Mhe. Xie Xiaowu walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo.(Picha na Ikulu). 
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa WHO na Madaktari wa Kichina waliosimamia Mradi wa kupambana na Kichocho Zanzibar, waliofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo.10-5-2019.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...