RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi Wiizara ya Biashara Viwanda Zanzibar, katika
Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Biashara na Viwanda
Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali kulia na kushoto Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg. Ali Khamis wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzu Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akifungua Mkutano wa Utekelezaji wa Mpango wa Wizara ya
Biashara na Viwanda kwa mwezi wa Julai 2018 na Marchi 2019, uliofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar, wakiwa na Maofisa wa
Idara za Wizara hiyo.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Biashara na Viwanda
Zanzibar Mhe Balozi Amina Salum Ali akisoma taarifa ya Wizara yake
wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara hiyo,
uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar kulia Katibu Mkuu
Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na kushoto Naibu Katibu Mkuu Wizara
ya Biashara na Viwanda Ndg. Ali Khamis.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Watendaji wa Idara za
Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar ,wakifuatilia mkutano huo wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar,
uliofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
MKURUGENZI wa Idara ya Biashara
Ndg.Khamis Ahmada Shauri, akichangia wakati wa mkutano huo wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi, katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni
Zanzibar(Picha na Ikulu)
MKURUGENZI wa Idara ya Masoko
Dkt. Abdallah Rashid Abdallah akichangia wakati wa mkutano huo wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi , uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo
Kibweni Zanzibar.(Picha na Ikulu)
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya
Biashara na Viwanda Ndh Ali Khamis, akisoma taarifa ya Matumizi na
Mapato ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizatra ya Biashara na Viwanda
Zanzibar, wakati wa mkutano huo uliofanyika Ikulu Ndogo Kibweni
Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Mkutano wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar,
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Mkutano wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar,
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la
Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Dkt. ,Said Seif Mzee, akichangia
wakati wa mkutano huo wea Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara ya
Biashara na Viwanda katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Kibweni Zanzibar.(Picha
na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...