Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) Dk.Boniface Bulamile akizungumza na watalaam wa sekta ya ujenzi (hawapo pichani) wakati akifungua semina endelevu ya watalaam wa Sekta ya ujenzi nchini ya kuwajengea uwezo watalaam wa sekta hiyo na kujadili mikataba ambayo inawaongoza katika utekelezaji wa majukumu yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam (kulia) QS Albert munuo. Kaimu Msajili wa Bodi hiyo. 
(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON)
Watalaam wa ujenzi wakifuatilia mada mbali mbali katika semina endelevu kwa ajili ya kujadili mikataba ambayo inawaongoza katika utekelezaji wa majukumu yao ilioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB),
Baadhi ya Watalaam wa ujenzi wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa semina endelevu kwa ajili ya kujadili mikataba ambayo inawaongoza katika utekelezaji wa majukumu yao ulioandaliwa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...