Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 26 Mei, 2019 nakutegemea kumalizika kesho tarehe 27 Mei, 2019 
Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo,akizungumza kwenye maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 26 Mei, 2019 nakutegemea kumalizika kesho tarehe 27 Mei, 2019 
Mtendaji Mkuu wa Tume ya Madini,Prof. Shukran Manya,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 26 Mei, 2019 nakutegemea kumalizika kesho tarehe 27 Mei, 2019 
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Ndg. Simon Shayo wakati alipotembelea banda ilo katika maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo, Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 26 Mei, 2019 nakutegemea kumalizika kesho tarehe 27 Mei, 2019 
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya K TanzGraphite, Ndg. Sauda Simba akimuonyesha na kumuelezea umuhimu wa madini ya graphite (kinywe) alisema utumika kutengenezea betri za simu, kompyuta mpakato ‘lap top’ na penseli wakati alipotembelea banda hilo katika maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Prof. Yohana Msanjila na Meneja Maendeleo ya Jamii kutoka Kampuni ya K TanzGraphite, Ndg, Bernard Mihayo 
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Utafiti ya madini ya Urani (MANTRA Tanzania), Ndg. Khadija Pallangyo akimuelezea kuhusu shughuli mbali mbali zilizofanywa na kampuni hiyo ikiwemo utengenezaji wa maktaba na uchimbaji wa visima wakati wa maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. 
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Uhusiano wa kampuni ya Shanta Gold Mine, Ndg. Christabella Hakili baada ya kufungua maonyesho ya Madini yaliyoanza leo katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Stanslaus Nyongo na Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Prof. Yohana Msanjila, Maonyesho hayo yameanza leo tarehe 26 Mei, 2019 nakutegemea kumalizika kesho tarehe 27 Mei, 2019, 
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...