Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangala(wa pili kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Anthony Mtaka ,Mkuu wa wilaya ya Meatu,Dk Joseph Chilongani(kulia) na Meneja wa shirika linalojihusisha na uhifadhi la Friedkin Conservation Fund Limited(FCFL),Nana Grosse alipowasili kwenye uwanja mdogo wa ndege wa Mwiba Wildlife Ranch kushuhudia uwekaji mikanda maalumu ya ufatiliaji mienendo ya Tembo eneo la Maswa Game Reserve.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangala akizungumza   kabla ya kushudia  uwekaji wa mikanda maalumu ya ufatiliaji mienendo ya Tembo kwenye Pori  la Maswa Game Reserve uliofadhiliwa na shirika linalojihusisha na uhifadhi la Friedkin Conservation Fund Limited(FCFL) katika eneo la  Mwiba Wildlife Ranch .

Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangala(kulia) akishuhudia uweka  uwekaji wa mikanda maalumu ya ufatiliaji mienendo ya Tembo kwenye Pori  la Maswa Game Reserve uliofadhiliwa na shirika linalojihusisha na uhifadhi la Friedkin Conservation Fund Limited(FCFL) katika eneo la  Mwiba Wildlife Ranch .

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (Tawiri),Dk Janemary Ntalwila  akionesha mchoro wa namna kifaa  maalumu   cha  ufatiliaji mienendo ya Tembo kwenye Pori  la Maswa Game Reserve uliofadhiliwa na shirika linalojihusisha na uhifadhi la Friedkin Conservation Fund Limited(FCFL) katika eneo la  Mwiba Wildlife Ranch .


Mtafiti Mwandamizi wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (Tawiri),Dk Edward Kohi akizungumza mienendo na tabia za Tembo huku Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangala akimsikiliza kwa makini.

Waziri wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangala akifurahia jambo baada ya zoezi la uwekaji kifaa hicho kukamilika,jumla ya Tembo 18 wamewekewa mikanda yenye vifaa maalumu ya kuwafatilia mienendo yao.

Wataalamu wakimfatilia mmoja wa Tembo ambaye alifungwa kifaa maalumu 
Wataalamu wa Wanyamapori wakimfatilia mmoja wa Tembo aliyefungwa kifaa hicho kinachowawezesha kufahamu mienendo yake katika ikolojia ya uhifadhi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...