Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa TCRA Mhandisi Lawi Odiero akizungumza na wananchi katika Mnada mkoani Morogoro.
Baadhi ya wadau mawasiliano wakiwa katika Mnada wa mkoani Morogoro.

 Afisa wa Mamlaka ya Vitambulusho vya Taifa akiwapa maelezo wananchi walipotembelea Banda hilo katika Mnada mkoani Morogoro.
 Wananchi wakiwa katika foleni ya usajili wa Vitambulusho vya Taifa katika Mnada mkoani Morogoro ikiwa ni Kampeni ya TCRA ya kutoa elimu ya usajili wa simu kwa njia ya alama za vidole.. 
 Meneja wa Duka la Vodacom mkoani Morogoro Ntugwa Jidayi akiwapa maelezo Watendaji wa TCRA walipitembelea Duka hilo.
 Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano kwa Watumiaji Mawasiliano Thadayo Ringo akitoa maelezo kwa wananchi katika Mnada mkoani Morogoro ikiwa ni Kampeni ya TCRA ya Mnada kwa Mnada wa utoaji elimu ya usajili wa simu kwa njia ya alama za Vidole.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...