Mkuu wa Kanda ya Mashariki wa TCRA Mhandisi Lawi Odiero akizungumza na wananchi katika Mnada mkoani Morogoro.
Baadhi ya wadau mawasiliano wakiwa katika Mnada wa mkoani Morogoro.
Afisa wa Mamlaka ya Vitambulusho vya Taifa akiwapa maelezo wananchi walipotembelea Banda hilo katika Mnada mkoani Morogoro.
Wananchi wakiwa katika foleni ya usajili wa Vitambulusho vya Taifa katika Mnada mkoani Morogoro ikiwa ni Kampeni ya TCRA ya kutoa elimu ya usajili wa simu kwa njia ya alama za vidole..
Meneja wa Duka la Vodacom mkoani Morogoro Ntugwa Jidayi akiwapa maelezo Watendaji wa TCRA walipitembelea Duka hilo.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano kwa Watumiaji Mawasiliano Thadayo Ringo akitoa maelezo kwa wananchi katika Mnada mkoani Morogoro ikiwa ni Kampeni ya TCRA ya Mnada kwa Mnada wa utoaji elimu ya usajili wa simu kwa njia ya alama za Vidole.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...