Afisa
Huduma kwa wateja kutoka Kampuni ya Tigo Regani Emmanuel, akimsajili Mbunge wa
jimbo la Chwaka, Bhagwanji Meisuria (kulia), kupitia utaratibu mpya wa
usajili wa laini za simu kwa kutumia alama za vidole katika viwanja vya
bunge mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.
Afisa
anayehusika na usajili wa laini za simu kutoka kampuni ya Tigo Tanzania,
Atupiani Makweta, akimsajilia mbunge Tunduma Frank Mwakajoka kwa kutumia mfumo
mpya wa usajili kwa kutumia alama za vidole mwishoni katika viwanja vya Bunge
mjini Dodoma.
Afisa
anayehusika na usajili wa laini za simu kutoka kampuni ya Tigo Tanzania,
Atupiani Makweta, akimsajilia mbunge Tunduma Frank Mwakajoka kwa kutumia mfumo
mpya wa usajili kwa kutumia alama za vidole mwishoni katika viwanja vya Bunge
mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...