Afisa huduma kwa wateja kutoka Kampuni ya Tigo Obrien Kinunda, akimsajilia  laini ya simu Mkuu wa Nidhamu wa Jeshi la Polisi Oscar Mushi kwa kutumia mfumo mpya wa usajili unatumia alama za vidole katika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani jijini Dar es Salaam jana.

Afisa huduma kwa wateja wa kampuni ya Tigo Nimzihirwa Elias, akimsajilia laini ya simu mmoja wa wateja wa kampuni hiyo ambaye ni mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kutumia utaratibu mpya wa usajili wa laini za simu kwa kutumia alama za vidole zoezi lililofanyika makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam jana.
 Afisa huduma kwa wateja wa kampuni ya Tigo Nimzihirwa Elias, akimsajilia laini ya simu mmoja wa wateja wa kampuni hiyo ambaye ni mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kutumia utaratibu mpya wa usajili wa laini za simu kwa kutumia alama za vidole zoezi lililofanyika makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam jana.




Afisa huduma kwa wateja wa kampuni ya Tigo Pendo Stephen, akimsajilia laini ya simu mmoja wa wateja wa kampuni hiyo ambaye ni mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kutumia utaratibu mpya wa usajili wa laini za simu kwa kutumia alama za vidole zoezi lililofanyika makao makuu yan Wizara hiyio jijini Dar es Salaam jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...