Afisa usajili laini za simu kutoka kampuni ya Tigo Regan Emmanuel (wa kwanza kulia), akisajili laini ya mteja wa kampuni hiyo kupitia utaratibu mpya ya usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole katika mji wa Kiserikali wa Mtumba mjijini Dodoma jana. Kushoto ni afisa mwingine wa Tigo Jackson Jerry akimsajili mteja.
Afisa usajili laini za simu kutoka kampuni ya Tigo Regan Emmanuel (wa kwanza kulia), akisajili laini ya mteja wa kampuni hiyo kupitia utaratibu mpya ya usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole katika mji wa Kiserikali wa Mtumba mjijini Dodoma jana. Kulia kwake ni afisa mwingine wa Tigo Jackson Jerry.
Afisa usajili laini za simu kutoka kampuni ya Tigo Regan Emmanuel (kushoto), akisajili laini ya mteja wa kampuni hiyo kupitia utaratibu mpya ya usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole katika mji wa Kiserikali wa Mtumba mjijini Dodoma jana. Kulia ni afisa mwingine wa Tigo Placida Jamson
Maafisa wa Kampuni ya Tigo wakisajili laini za simu za watumishi wa Umma kupitia utaratibu mpya ya usajili wa laini za simu kwa njia ya alama za vidole katika mji wa Kiserikali wa Mtumba mjijini Dodoma jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...