Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakiwa wamebeba bango wakati wa Maandandano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
  Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakiwa wamebeba bango wakati wa Maandandano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
 Wafanyakazi wa TSC wakiwa katika maandamano kuelekea uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
 Wafanyakazi wa TSC wakiwa ndani ya uwanja wa Jamhuri wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
Wafanyakazi wa TSC wakipita mbele ya mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika Mei 1, 2019 katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...