--
 Nguzo ya Katikati ya ya Makutano ya Barabara ya Morogoro ,Sam Nujoma na Mandela  ikiwa tayari imesimama kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara za juu ambazo zitasaidia kupunguza msongamano katika jiji la Dar es Salaam.
 Sehemu ya Nguzo za upande wa pili ya barabara ya Mandela pamoja na mitambo ya ujenzi yakionekana katika picha .
Wafanyakazi wa kampuni ya Ujenzi ya China Civil Inayojenga barabara za juu katika Makutano ya Ubungo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...