Kufuatia Dhoruba ya Upepo mkali uliombatana na Mvua kubwa kuikumba Shule ya Sekondari Bukoba, na Kusababisha madhara makubwa katika Shule hiyo na kufungwa kwa Muda, sasa ukarabati umeanza na hizi ndiyoo picha mbalimbali zikionesha ujenzi wa shule hiyo unavyoendelea na hatua iliyofikiwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...