Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti cha ushiriki Mkuu wa mauzo wa Kanda ya Kati wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Bi Grace Chambua wakati wa maadhimisho ya miaka 10 ya UCSAF jijini Dodoma mapema wiki hii. Maadhimisho ya mfuko huo wa mawasiliano kwa wote yameadhimishwa na kauli mbiu ikiwa ni “Mawasiliano kwa wote ni kichocheo cha kuufikia uchumi wa kati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...