Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiandamana kuingia katika Uwanja wa Uhuru wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyoadhimisha kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiandamana kuingia katika Uwanja wa Uhuru wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyoadhimisha kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Picha na: Genofeva Matemu - JKCI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...