Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akifanya ukaguzi wa Seal kwenye pampu katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo ili kujiridhisha kama upimaji mafuta wa Pampu ni sahihi wakati wateja wanapofanya manunuzi, Maadhimisho ya vipimo duniani yanatarajiwa kufanyika Mei 20, 2019 jijini Dar es salaam.

  
 Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akishuhudia wakati mafuta yakijazwa kwenye kipimo maalum cha mafuta wakati maofisa hao walipofanya ukaguzi wa Seal kwenye pampu  kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo, kushoto ni Ally Mohamed Meneja wa kituo cha Total Mlimani City.

  
Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akitoa maelezo kwa waandishi wa habari  wakati wakifanya  ukaguzi wa Seal kwenye pampu katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo ili kujiridhisha kama upimaji mafuta wa Pampu ni sahihi wakati wateja wanapofanya manunuzi anayejaza mafuta ni Mbaningo Mselem Afisa Vipimo.
  

Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akionyesha Stika ya uthibitisho kuwa pampu hizo zimekaguliwa wakati maofisa hao waliofanya ukaguzi kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo.

  
 Ally Mohamed Meneja wa kituo cha mafuta Total Mlimani City akihojiwa na  waandishi wa habari kwenye kituo hicho jijini Dar es salaam leo baada ya wakala wa vipimo kukagua pampu na kujiridhisha kuhusu ubora wake wa vipimo.


  

 Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akihojiwa na waandishi wa habari wa ITV mara baada ya  maofisa hao kufanya ukaguzi katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo.kushoto ni Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA)
  
Kituo cha Mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam.
 Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akifanya ukaguzi wa Seal kwenye pampu katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo ili kujiridhisha kama upimaji mafuta wa Pampu ni sahihi wakati wateja wanapofanya manunuzi, Maadhimisho ya vipimo duniani yanatarajiwa kufanyika Mei 20, 2019 jijini Dar es salaam.

  
 Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akishuhudia wakati mafuta yakijazwa kwenye kipimo maalum cha mafuta wakati maofisa hao walipofanya ukaguzi wa Seal kwenye pampu  kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo, kushoto ni Ally Mohamed Meneja wa kituo cha Total Mlimani City.

  
Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akitoa maelezo kwa waandishi wa habari  wakati wakifanya  ukaguzi wa Seal kwenye pampu katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo ili kujiridhisha kama upimaji mafuta wa Pampu ni sahihi wakati wateja wanapofanya manunuzi anayejaza mafuta ni Mbaningo Mselem Afisa Vipimo.
  

Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akionyesha Stika ya uthibitisho kuwa pampu hizo zimekaguliwa wakati maofisa hao waliofanya ukaguzi kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo.

  
 Ally Mohamed Meneja wa kituo cha mafuta Total Mlimani City akihojiwa na  waandishi wa habari kwenye kituo hicho jijini Dar es salaam leo baada ya wakala wa vipimo kukagua pampu na kujiridhisha kuhusu ubora wake wa vipimo.


  

 Kaimu Meneja Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni Bw. Charles Mavunde akihojiwa na waandishi wa habari wa ITV mara baada ya  maofisa hao kufanya ukaguzi katika kituo cha mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam leo.kushoto ni Irene John Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma Wakala wa Vipimo (WMA)
  
Kituo cha Mafuta cha Total Mlimani City jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...