Pichani ni wakazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma hivi karibuni wakiangalia na kujipongeza kwa kazi mzuri ya ufyatuaji matoli iliyofanywa na wakazi hao kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa kituo cha afya katani hapo ambapo hilo ni eneo maalum  lililotengwa kwa ajili ya ujenzi huo.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...