Pichani ni wakazi wa Kijiji na Kata ya Namiungo wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma hivi karibuni wakiangalia na kujipongeza kwa kazi mzuri ya ufyatuaji matoli iliyofanywa na wakazi hao kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi wa kituo cha afya katani hapo ambapo hilo ni eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya ujenzi huo.(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)
Home
HABARI
JAMII
TAARIFA
WANANCHI WA NAMIUNGO TUNDURU WAJIPONGEZA KWA UFYATUAJI MATOFALI YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...