Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk.AshaRose Migiro mara baada ya kufanya mazungumzo na watanzania wanaokaa na kufanya kazi Uingereza katika fani mbalimbali za afya na biashara. 

Watanzania hao wamekubali kupitia umoja wao kuunga jitihada za  Rais Dk.John Magufuli katika kusaidia upatikanaji wa vifaa muhimu vya kisasa, kuchangia fedha na watalaam wa afya ili kuboresha huduma za afya nchini. 

Watanzania hao wamepongeza jitihada za serikali ya awamu ya tano katika ujenzi na uboreshaji wa huduma za afya mijini na vijijini ambapo serikali imekuwa ikijenga Hospitali, vituo vya afya na Zahanati katika kila Kata.
 Mbunge wa Busega, Dk. Raphael Chegeni akizungumza na Baadhi ya maofisa wa Ubolozi wa Tanzania nchini Uingereza. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk.AshaRose Migiro.
Picha ya pamoja 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...