Mtaalamu wa chumba cha upasuaji
mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath Lab kutoka
Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini Afrika ya Kusini
Fill Longano akiwafundisha wauguzi na mafundi sanifu wa moyo kutoka
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Benjamini Mkapa
(BMH) pamoja na Hospitali ya Aga khan namna ambavyo wanapaswa
kuwahudumia wagonjwa wa moyo wanaopata matibabu ya moyo kwa kutumia
mtambo wa Cath Lab leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wauguzi na mafundi
sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia
mafunzo ya namna ya kumhudumia mgonjwa wa moyo anayepata matibabu
kupitia mtambo wa Cath Lab yaliyotolewa na Mtaalamu wa chumba cha
upasuaji mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath Lab
kutoka Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini Afrika ya
Kusini leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wauguzi na mafundi
sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya
Benjamini Mkapa (BMH) wakifuatilia mafunzo ya namna ya kumhudumia
mgonjwa wa moyo anayepata matibabu kupitia mtambo wa Cath Lab
yaliyotolewa na Mtaalamu wa chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia
tundu dogo kutoka Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini
Afrika ya Kusini leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Maafisa Uuguzi na mafundi sanifu
wa moyo wanaotoa huduma katika chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia
tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya
Kikwete (JKCI), Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) pamoja na Hospitali
ya Aga khan katika picha ya pamoja baada ya mafunzo ya siku mbili ya
namna ya kumuhudumia mgonjwa wa moyo anayepata matibabu kwa kutumia
mtambo wa cath lab.
Picha na: Genofeva Matemu – JKCI
Picha na: Genofeva Matemu – JKCI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...