Mtaalamu wa chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath Lab kutoka Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini Afrika ya Kusini Fill Longano akiwafundisha wauguzi na mafundi sanifu wa moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) pamoja na Hospitali ya Aga khan namna ambavyo wanapaswa kuwahudumia wagonjwa wa moyo wanaopata matibabu ya moyo kwa kutumia mtambo wa Cath Lab leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wauguzi na mafundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mafunzo ya namna ya kumhudumia mgonjwa wa moyo anayepata matibabu kupitia mtambo wa Cath Lab yaliyotolewa na Mtaalamu wa chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath Lab kutoka Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini Afrika ya Kusini leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wauguzi na mafundi sanifu wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) wakifuatilia mafunzo ya namna ya kumhudumia mgonjwa wa moyo anayepata matibabu kupitia mtambo wa Cath Lab yaliyotolewa na Mtaalamu wa chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kutoka Hospitali ya Sunning Hill iliyopo Johannes Burg nchini Afrika ya Kusini leo katika Hoteli ya Protea Jijini Dar es Salaam
Maafisa Uuguzi na mafundi sanifu wa moyo wanaotoa huduma katika chumba cha upasuaji mdogo wa moyo kupitia tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cath kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) pamoja na Hospitali ya Aga khan katika picha ya pamoja baada ya mafunzo ya siku mbili ya namna ya kumuhudumia mgonjwa wa moyo anayepata matibabu kwa kutumia mtambo wa cath lab.
Picha na: Genofeva Matemu – JKCI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...