Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, leo. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Lugola mewataka wamiliki wa vyombo vya moto nchini kutoa mikataba ya kazi kwa madereva na wafanyakazi mbalimbali katika makampuni yao. Katikati ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbrod Mutafungwa. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akifurahi jambo wakati alipokua anamsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji Nchini, Chuki Shaban alipokuwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa usafirishaji kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, jana. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Kushoto ni Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (wapili kushoto), akifurahi jambo wakati alipokua anamsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wasafirishaji Nchini, Chuki Shaban alipokuwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa usafirishaji kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Bwalo la JKT Umwema, mjini Morogoro, jana. Waziri Lugola amewatuliza madereva wa vyombo vya moto waliotaka kugoma kutokana na kutopewa mikataba ya kazi, matumizi mabaya ya tochi pamoja na ulipaji wa faini na kusimamishwa hovyo na matrafiki mabarabarani. Kushoto ni Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...