Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia), akifurahia jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, wakati walipokua wanatoka ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Stephen Kebwe (katikati). Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (katikati), akifafanua jambo katika Kikao cha kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi Mjini Mrogoro, ambacho pia kilichohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto meza kuu). Kikao hicho pia kilihudhuriwa na maafisa wa Magereza na Manispaa ya Morogoro. Kulia meza kuu ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Stephen Kebwe (katikati). 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akimsalimia Kamishna Jenerali wa Magereza, (CGP), Phaustine Kasike, wakati alipokua anawasili Makao Makuu ya Magereza Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...