Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Bodi wa Benki hiyo, Ally Laay (kulia) pamoja na Mjumbe wa Bodi, Abdul Mohamed (kushoto) wakati wakifuatilia hotuba ya mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20 iliyokuwa ikiwasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango, leo juni 13, 2019.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akisoma kitabu cha hotuba ya mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20 iliyokuwa ikiwasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango, leo juni 13, 2019.
Sehemu ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB pamoja na wageni wengine wakiwa kwenye ukumbi wa Bunge wakifuatilia hotuba ya mapendekezo ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2019/20 iliyokuwa ikiwasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango, leo juni 13, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...