Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akizungumza na Menejimenti na Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.Mwenyekiti uyo amewataka wafanyakazi hao kufanikisha azma ya Serikali ya kufikisha umeme kila kijiji inatimia kufikia mwaka 2021.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akizungumza na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.
 Kaimu Mkurugenzi wa REA Mhandisi Jones Olotu akimkaribisha Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo katika Ofisi za Wakala wa Nishati Vijijini JIjini Dodoma.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo

 Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo(hayupo pichani) wakati akizungumz anao Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.
 
Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...