UONGOZI NI KUPOKEZANA VIJITI: Rais Mpya wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam, Dk Heri Tungaraza (kushoto) akiwa na Rais Mstaafu Lulu Tunu Kaaya (kulia) wakionyesha ishara ya upendo mara baada ya Bi. Catherine Njuguna wa Rotary Club Dar es Salaam Mikocheni (katikati) kumaliza zoezi la makabidhiano kumalizika.
Rais Mpya wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam, Dk Heri Tungaraza (kushoto) akizungumza machache mara baada ya kutangazwa kuongoza kwa muda wa mwaka mmoja.
Rais Mstaafu wa Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam, Lulu Tunu Kaaya akizungumza wakati wa halfa ya kumsika Rais Mpya Dk Heri Tungaraza.
Mwanachana wa Rotary Club  Dar es Salaam Mikocheni, Bi. Catherine Njuguna wa Rotary Club Mikocheni (kushoto) akiongea na na Rais Mstaafu Lulu Tunu Kaaya (kulia).
Akivalishwa...
Rais Mstaafu wa Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam, Lulu Tunu Kaaya (kushoto) akikabidhiwa zawadi na Wanachama wa Rotary Club UDSM Mlimani Prof. Abel Ishumi (kulia).
Wanachama wa Rotary Club UDSM Mlimani Prof. Abel Ishumi akitoa zawadi.
Wanachama wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam wakipata burudani.
Wanachama wa Rotary Club UDSM Mlimani Prof. Abel Ishumi (kushoto) na Edwin Mashayo (kulia).
Rais Mpya wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam, Dk Heri Tungaraza akimkabidhi zawadi Mwanachana Prof. David Mfinanga ikiwa ni heshima ya kuweza kuifanya club ya UDSM Mlimani kusonga mbele.
Mwanachana wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam Prof. David Mfinanga akitoa shukrani mara baada ya kukabidhiwa zawadi.
 Mwanachama wa Rotary Club Catherine Dar North Club akizungumza machache.
Mwanachama wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam Mona Mwakalinga.
Mwanachama wa  Rotary Club UDSM Mlimani jijini Dar es Salaam Adolpho Mascharenas akizungumza machache.
Wanachama wa Rotary Club UDSM Mlimani Prof. Abel Ishumi akitoa wosia kwa uongozi mpya.
Picha ya pamoja na Rais Mpya...

Wanachama wakibadirisha mawazo.
Burudani ikiendelea...
Picha ya pamoja na rais Mpya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...