Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika, Mhe. Balozi Aboubakr Mahmoud katika hoteli ya Semiramis Intercontinental,Cairo nchini Misri.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika, Mhe. Balozi Aboubakr Mahmoud ambae alimuwakilisha Rais wa Misri katika hoteli ya Semiramis Intercontinental, Cairo nchini Misri.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akimkabidhi ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika, Mhe. Balozi Aboubakr Mahmoud ambae alimuwakilisha Rais wa Misri katika hoteli ya Semiramis Intercontinental, Cairo nchini Misri. Kulia ni Afisa mwandamizi kutoka Bunge la Misri
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akipokea ujumbe maalum wa
Rais wa Misri kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia
masuala ya Afrika, Mhe. Balozi Aboubakr Mahmoud ambae alimuwakilisha
Rais wa Misri walipokutana katika hoteli ya Semiramis
Intercontinental,Cairo nchini Misri.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...