Waziri wa Mifugo naUvuvi Mhe. Luhaga Mpina akizungumza na Wafanyakazi wa Kampuniya Ranchi zaTaifa (NARCO) alipotembelea Makao Makuu ya kampuni hiyo Nzuguni, Dodoma, leo Kushoto ni MenejaMkuuwa NARCO, Prof. PhilemoniWambura. Kulia ni Mratibu wa Dawati la SektaBinafsi, Steven Michael.
Mratibu wa Dawati la Sekta Binafsi Wizara ya Mifugo naUvuvi, Bw. Steven Michael akieleza nafasi ya Dawati la Sekta Binafsi katika kuboresha uwekezaji kwenye Kampuni ya Ranchi zaTaifa, NARCO (katikati) niWaziri waMifugonaUvuviMhe. Luhaga Mpina na Kaimu Meneja Mkuu wa NARCO, Profesa Philemon Wambura
Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali watu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Teddy Njau akifafanua hoja mbalimbali kuhusuWatumishi wa Kampuni ya Ranchi zaTaifa katika ziara ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina alipotembea Makao Makuu ya NARCO, Nzugunijijini Dodoma.

Watumishi wa Kampuni ya Ranchi zaTaifa (NARCO) wakifuatilia kwa makini maelekezo yaWaziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina (hayupo pichani) alipotembelea makao makuuya NARCO Nzuguni, Dodoma.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina akiwa katika picha ya pamoja na Ma meneja wa Ranchi zote zaTaifa baada ya kumaliz akikao cha siku mbili kilichofanyika makao makuu ya NarcoNzuguni, Dodoma wengine ni Kaimu Meneja Mkuu wa NARCO naWakurugenzi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...