Wafanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) wafanya usafi, watoa elimu ya kutambua na kuzuia vihatarishi vilivyopo kwenye maeneo ya kazi pamoja na kutoa misaada kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Taasisi ya Mifupa (MOI) kwenye Wiki ya Utumishi wa Umma, 2019.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...