Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiwahudumia wateja waliotembelea banda la huduma za benki hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau wa Korosho uliofanyika mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa zao la korosho hapa nchini ambapo imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wakulima na wafanyabaishara wa zao hilo.
Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiwahudumia wateja waliotembelea banda la huduma za benki hiyo kwenye Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Wadau wa Korosho uliofanyika mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki. Benki hiyo ni miongoni mwa wadau wakubwa wa zao la korosho hapa nchini ambapo imekuwa ikitoa huduma mbalimbali za kifedha kwa wakulima na wafanyabaishara wa zao hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...