Na Hadija Seif
MSANII wa Muziki wa Injili nchini Irene Robert adondosha Mkwaju mpya kwa shabiki zake, ikiwa na bada ya kukamata anga la Muziki la Injili Tanzania na Nje ya Mipaka kwa wimbo wake uitwao "Kishindo".

Sasa ameshusha wimbo Mpya na video Uitwao Tembea, ambao ni wimbo wake wa nne kuachia baada ya kuachia "Unashuka",  "Nianze na wewe",  na sasa "Kishindo".

Irene ni mwimbaji ambaye amepata mafanikio kwa haraka sanaa kutokana na kufanya kazi nzuri za kiwango Cha juu sana.

Kazi ya video imefanywa na Enxer na audio ikifanyika pale Masai Record chini ya producer Yusuph Manamba akiwa  chini ya Lebo ya Famara Promotion.

Ni mwimbaji aliyejishusha kwa Unyenyekevu na anatamani kwenda kimataifa zaidi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...