Naibu waziri wa kilimo Omary Mgunda akifungua kongamano la siku mbili la Uwekezaji la kimataifa la zao la Korosho nchini linalofanyika mkoani Mtwara.
Naibu Waziri wa kilimo Omary Mgunda katikati akiwa meza kuu wakati wa kufungua kongamano la siku mbili la uwekezaji la kimataifa la korosho nchini kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) Geofrey Mwambe ambalo linalofanyika mkoani Mtwara
Washiriki wa kongamano la siku mbili la
uwekezaji la Kimataifa wa zao la Korosho nchini linalofanyika mkoani mtwara
(PICHA NA FATNA MWINYIMKUU).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...