Naibu waziri wa kilimo Omary Mgunda akifungua kongamano la siku mbili la Uwekezaji la kimataifa la zao la Korosho nchini linalofanyika mkoani Mtwara.
 Naibu Waziri wa kilimo Omary Mgunda katikati  akiwa meza kuu wakati wa kufungua kongamano la siku mbili la uwekezaji la kimataifa la korosho nchini kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) Geofrey Mwambe ambalo linalofanyika mkoani Mtwara

Washiriki wa kongamano la siku mbili la uwekezaji la Kimataifa wa zao la Korosho nchini linalofanyika mkoani mtwara (PICHA NA FATNA MWINYIMKUU).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...