Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kangeme Kata ya Uloa Wilayani Ushetu mkoani Shinyanga ambapo katika mkutano huo uliofanyika leo masuala mbalimbali yanayohusu kudhibiti uhalifu yalizungumzwa.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Kamishna Msaidizi wa Polisi Richard Abwao, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kangeme Kata ya Uloa Wilayani Ushetu mkoani Shinyanga ambapo katika mkutano huo uliofanyika leo masuala mbalimbali yanayohusu kudhibiti uhalifu yalizungumzwa.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...