Mbunge wa Singida Magharibi Elibariki Kingu akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana Kitongoji cha Bunku kilichopo Kijiji cha Mayaha Kata ya Minyughe wilayani Ikungi mkoani Singida baada ya kukagua ujenzi wa Shule ya Msingi na kuahidi kuendelea kusaidia ujenzi kwa kutoa mifuko ya saruji 120 na mabati.
Burudani zikiendelea kwenye mkutano huo
Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata hiyo Paul Hema akizungumza kwenye mkutano huo,
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...