Mbunge wa Singida Magharibi Elibariki Kingu akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana  Kitongoji cha Bunku kilichopo Kijiji cha Mayaha  Kata ya Minyughe wilayani Ikungi mkoani Singida baada ya kukagua ujenzi wa Shule ya Msingi na kuahidi kuendelea kusaidia ujenzi kwa kutoa mifuko ya saruji 120 na mabati.
 Burudani zikiendelea kwenye mkutano huo
 Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata hiyo Paul Hema akizungumza kwenye mkutano huo,






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...