Wanafunzi wakisoma machapisho ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakati walipotembelea Banda la SUA katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Afisa Udahili John Lyatuu wa SUA akifanya udahili wa Wanafunzi katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wakiwa katika banda SUA katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Huduma zikiendelea
Makamu Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa Raphael Chibuda akiwa picha ya pamoja Wafanyakazi wa Chuo hicho katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Makamu wa Mkuu wa Chuo Cha SUA Profesa Raphael Chibuda akijadiliana na Watendaji Wakuu katika Vyuo Vikuu katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa Raphael Chibuda akizungumza na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam William Anangisye katika ufunguzi maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...