Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha Mhe. Richard Kwitega (Katikati) katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, waliomtembelea ofisini kwake, jijini Arusha leo. Wajumbe hao wako katika ziara ya kuvitembelea vyombo vya utangazaji vya Kanda ya Kaskazini ili kutoa elimu ya uandaaji na usimamiaji wa maudhui bora ya uchaguzi nchini. Maudhui ya Vyombo vya utangazaji ni muhimu katika kuhimiza amani na utulivu wakati wote wa kipindi cha uchaguzi. Tanzania inatazamia kufanya chaguzi za Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.
Home
HABARI
TAARIFA
TCRA YAENDELEA KUFANYA ZIARA YA KUVITEMBELEA VYOMBO VYA UTANGAZI KANDA YA KASKAZINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...