Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Plc kanda ya kati wakiwa  tayari kwa ajili ya kuanza mbio za Capital City Marathon zilizofanyika Jijini Dodoma mwishoni mwa wiki, kampuni hiyo ilidhamini wanafunzi 51 kutoka vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko jijini humo pamoja na wafanyakazi wake 35 ili kuwajengea tabia ya kufanya mazoezi na kuboresha afya zao. 
Mkuu wa mauzo wa kanda ya kati wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc Grace Chambua (wa nne kutoka kulia mwenye kofia) akijiandaa kuanza mbio za Marathon za Capital City zilizofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma, kampuni hiyo ilidhamini wanafunzi 51 kutoka vyuo vikuu mbalimbali vilivyoko jijini humo pamoja na wafanyakazi wake 35 ili kuwajengea tabia ya kufanya mazoezi na kuboresha afya zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...