Wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania Plc kanda ya kati wakiwa tayari kwa ajili ya
kuanza mbio za Capital City Marathon zilizofanyika Jijini Dodoma
mwishoni mwa wiki, kampuni hiyo ilidhamini wanafunzi 51 kutoka vyuo
vikuu mbalimbali vilivyoko jijini humo pamoja na wafanyakazi wake 35 ili
kuwajengea tabia ya kufanya mazoezi na kuboresha afya zao.
Mkuu
wa mauzo wa kanda ya kati wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc Grace
Chambua (wa nne kutoka kulia mwenye kofia) akijiandaa kuanza mbio za
Marathon za Capital City zilizofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dodoma,
kampuni hiyo ilidhamini wanafunzi 51 kutoka vyuo vikuu mbalimbali
vilivyoko jijini humo pamoja na wafanyakazi wake 35 ili kuwajengea tabia
ya kufanya mazoezi na kuboresha afya zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...