Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mpya wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira George Boniface  Simbachawene alipowasili Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar Es Salaam leo Julai 22,2019 kwa ajili ya kujitambulisha rasmi mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe  Magufuli.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mpya wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira George Boniface  Simbachawene alipowasili Ofisini kwake Ikulu Jijini Dar Es Salaam leo Julai 22,2019 kwa ajili ya kujitambulisha rasmi mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano wa Mazingira George Boniface Simbachawene akisaini kitabu kwa ajili ya kuanza kazi rasmi alipowasili Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli JIjini Dar es salaam leo Julai 22, 2019 mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Wizara hiyo Ikulu Jijini Dar es salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...