Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya kuzuia rushwa na Uhujumu Uchumi Mussa Haji Ali akitolea ufafanuzi juu ya Siku ya kupambana na Rushwa Afrika katika mkutano wa Waandishi wa Habari na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman kuzungumzia siku ya kupambana na Rushwa na Uhujumu uchumi ambayo huadhimishwa kila ifikapo 11/07/2019 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi hio Mazizini Zanzibar. 
Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Yakut Hassan Yakut akitoa maelezo na kumkaribisha mgeni Rasmi katika Mkutano wa Waandishi wa Habari na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman kuzungumzia siku ya kupambana na Rushwa na Uhujumu uchumi ambayo huadhimishwa kila ifikapo 11/07/2019 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi hio Mazizini Zanzibar.
Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano wa Waandishi wa Habari na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman kuzungumzia siku ya kupambana na Rushwa na Uhujumu uchumi ambayo huadhimishwa kila ifikapo 11/07/2019 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi hio Mazizini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haroun Ali Suleiman akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na namana Serikali inavyofanya jitihada za kuzuia rushwa na uhujumu uchumi katika siku ya kupambana na Rushwa na Uhujumu uchumi ambayo huadhimishwa kila ifikapo 11/07/2019 mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi hio Mazizini Zanzibar. PICHA NA YUSSIF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...