Waziri Mkuu kasim Majaliwa akizungumza na baadhi ya watoa huduma wa Kampuni ya Airtel Tanzania inayomilikiwa na Serikali kwa asilimia 49 wakati alipotembelea banda la Airtel lililopo JNICC katika mkutano wa SADC unaondelea jijini DSM #SADC2019 #TZTUNATEKELEZA
Baadhi ya wateja wa Airtel tanzania wakihudumiwa kusajili laini zao kwa alama za vidole katika banda la Airtel lililoko JNICC wakat wakati wa mkutano wa SADC unaondelea jijini DSM #SADC2019 #TZTUNATEKELEZA

*Airtel yapeleka huduma za usajili kwa alama za vidole SADC.

Kampuni ya simu za mkononi Airtel Tanzania Plc kupitia Meneja Mawasiliano wake bw, Jackson Mmbando imesema kuwa wateja wote wanaoingia katika naonesho na mkutano wa SADC unaoenselea wanatoa huduma zote za kampuni katika bada lao ikiwemo kukamilisha usajili wa SIM Card kwa wateja wao wote kwa njia ya alama za vidole yaani Beometric Registration.

"sisi Kama watoa huduma tayari tumeweka kambia hapa tunatoa huduma za usajili kwa alama za visole hapa kwa kuwa tunafaham watu wengi wanatembelea hapa hivyo ni jukumu letu kuwasaidia kuokoa muda wao" alisema Mmbando

Airtel ina mabanda mawili katika viwanja vya JULIUS NYERERE INTERNATINAL CONFERENCE CENTRE (JINCC) ,ambapo maonesho na mkutano wa SADC unaendelea katika ukumbi huo jijini DSM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...