Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri  akizungumza na madiwani katika mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo leo jijini Dar es Salaam,ambapo amesema wananchi wanao jihusishisha na uharifu waache mara moja
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija akizungumza katika mkutano wa baraza la madiwani ulifanya leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
 Meya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni,Maabad Hojja akizungumza na madiwani  katika mkutano wa baraza la Madiwani wa kuchagua naibu Meya na kamati mablimbali,ambazo zitasimamia utekelezaji wa maendeleo katika Halmashauri hiyo ambapo,Amin Mzuri  Sambo ameshinda Unaibu Meya.

Mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kigamboni wa kuchagua Naibu Meya  na kamati mbalimbali, ambazo zitasimamia utekelezaji wa maendeleo ya Halmashauri  hiyo, ikiwamo kamati ya fedha ya kudumu, uchumi,elimu na afya,miundombinu ukiendelea.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...