Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri akizungumza na madiwani katika mkutano wa Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo leo jijini Dar es Salaam,ambapo amesema wananchi wanao jihusishisha na uharifu waache mara moja
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni,Ng’wilabuzu Ludigija akizungumza katika mkutano wa baraza la madiwani ulifanya leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Meya wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni,Maabad Hojja akizungumza na madiwani katika mkutano wa baraza la Madiwani wa kuchagua naibu Meya na kamati mablimbali,ambazo zitasimamia utekelezaji wa maendeleo katika Halmashauri hiyo ambapo,Amin Mzuri Sambo ameshinda Unaibu Meya.
Mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya Kigamboni wa kuchagua Naibu Meya na kamati mbalimbali, ambazo zitasimamia utekelezaji wa maendeleo ya Halmashauri hiyo, ikiwamo kamati ya fedha ya kudumu, uchumi,elimu na afya,miundombinu ukiendelea.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...