IGP SIRRO AKUTANA NA WANAFUNZI KUTOKA CHUO KIKUU CHA POLISI NCHINI KOREA KUSINI.
22/08/2019 JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akiiangalia zawadi aliyopewa na Sajin Kim (katikati) na Yujun Cho, kutoka Chuo Kikuu cha Polisi nchini Korea Kusini, walipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo 22/08/2019, ziara ya wanafunzi hao, ni kuendelea kukuza ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Jeshi la Polisi Korea Kusini. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akifurahia jambo wakati akizungumza na Sajin Kim (katikati) na Yujun Cho, wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Polisi nchini Korea Kusini, walipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo 22/08/2019, ziara ya wanafunzi hao, ni kuendelea kukuza ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Jeshi la Polisi Korea Kusini. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akimsikiliza Sajin Kim (katikati) na Yujun Cho, wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Polisi nchini Korea Kusini, walipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo 22/08/2019, ziara ya wanafunzi hao, ni kuendelea kukuza ushirikiano uliopo kati ya Jeshi la Polisi Tanzania na Jeshi la Polisi Korea Kusini. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...