Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akimsikiliza Mratibu
Mwandamizi wa Programu za Mafunzo ya Kuzuia uhalifu Unaovuka Mipaka
Bwana Willem Els (kulia), kutoka Taasisi ya Mafunzo ya Usalama nchini Afrika ya Kusini wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya kiusalama. Picha na Jeshi la Polisi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akimsikiliza Mkurugenzi wa
Upelelezi wa Makosa ya Jinai CP Robert Boaz (wa pili kulia) wakati akito neno mbele ya Wajumbe kutoka Kituo cha Ufanisi cha Kuzuia na Kupambana na Ugaidi katika Ukanda wa Afrika Mashariki kilichopo Nairobi nchini Kenya, wakati Ujumbe huo ulipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya kiusalama. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, Mkurugenzi wa Upelelezi wa
Makosa ya Jinai CP Robert Boaz, wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe kutoka Kituo cha Ufanisi cha Kuzuia na Kupambana na Ugaidi katika Ukanda wa Afrika Mashariki kilichopo Nairobi nchini Kenya, wakati walipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kubadilishana uzoefu kwenye masuala ya kiusalama. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...