Mufti Mkuu wa Tanzania,  Sheikh Aboubakar Zubeiry bin Ally akiongoza  Dua fupi ya kuwaombea majeruhi waliolazwa wodini katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kutokana na majeraha waliopata katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Uuguzi wa Muhimbili, Bw. Yassin Munguatosha. Sheikh Mkuuametembelea majeruhi wa ajali ya moto na kuwapa pole na kuwaombea Dua ili mwenyezi Mungu awape wepesi wa kupona haraka.
Mufti Mkuu wa Tanzania,  Sheikh Aboubakar Zubeiry bin Ally  akielekea katika wodi walikolazwa majeruhi wa moto katika Hospitali ya Muhimbili.
Mufti Mkuu wa Tanzania,  Sheikh Aboubakar Zubeiry bin Ally  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasaidizi wake pamoja na wataalam wa Muhimbili baada ya kutembelea majeruhi wa ajali ya moto.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...