Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Mwanza (MWAUWASA) Mhandisi Anthony Sanga (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo (katikati) jana alipotembelea mradi wa maji Nyahiti wilayani Misungwi. Kulia ni Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Mwanza (MWAUWASA) Mhandisi Anthony Sanga (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo (katikati) jana alipotembelea mradi wa maji Nyahiti wilayani Misungwi. Kulia ni Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga. 
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo (katikati) wa pili kutoka kulia kipata ufafanuzi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwauwasa, Mhandisi Anthony Sanga (wa tatu kutoka kushoto) kuhusu mradi wa chanzo cha maji cha Nyahiti  jana alipotembelea mradi huo Kushoto wa pili ni Mbunge wa Misungwi Charles Kitwanga. 
 Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya kutembelea na kukagua mradi wa maji Nyahiti ambao umekamilika kwa asilimia 97 tayari kutoa huduma ya maji kwa wakazi wa Misungwi wapatao 64000.   
  Katibu Mkuu Wizara ya Maji, profesa Kitila Mkumbo akihutubia wananchi wa Kisesa na Bujora wilayani Magu jana kuhusu kero ya maji kwenye maeneo hayo.
Picha zote na Baltazar Mashaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...