Mkurugenzi wa Ufundi na Uendeshaji wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Eng. Alex Ntanguligwa akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TTCL alipokuwa akifungua mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) uliokutanisa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam kujadili masuala anuai ya mawasiliano kutoka nchi hizo.   

Mkurugenzi wa Ufundi na Uendeshaji wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Eng. Alex Ntanguligwa (kushoto) akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TTCL alipokuwa akifungua mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) uliokutanisa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam kujadili masuala anuai ya mawasiliano kutoka nchi hizo. 

Mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) uliokutanisa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam kujadili masuala anuai ya mawasiliano kutoka nchi hizo ukiendelea katika Hotel ya Landmark. 

Meneja Maendeleo wa Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Eng. Enocent Msasi akichangia mada katika Mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA).

Katibu Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA), Eng. Jacob Munodawafa (kushoto) akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano huo.
Katibu Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA), Eng. Jacob Munodawafa akiwasilisha mada katika mkutano huo.
Katibu Mtendaji na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA), Eng. Jacob Munodawafa akifafanua jambo kwa wajumbe wa mkutano huo (hawapo pichani).

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano Maalum wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) wakifuatilia mada anuai katika Hotel ya Landmark. 

Mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) uliokutanisa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam kujadili masuala anuai ya mawasiliano kutoka nchi hizo ukiendelea katika Hotel ya Landmark. 

Mkurugenzi wa Ufundi na Uendeshaji wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Eng. Alex Ntanguligwa akiwaonesha wajumbe picha ya Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli iliyokuwa katika ukumbi wa mkutano kabla ya kuanza kwa mkutano huo.

Mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) uliokutanisa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam kujadili masuala anuai ya mawasiliano kutoka nchi hizo ukiendelea katika Hotel ya Landmark. 

Baadhi ya wajumbe wa Mkutano maalum wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Mawasiliano ya Kusini mwa Afrika (Southern Africa Telecommunication Association-SATA) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano huo kwenye Hotel ya Landmark. 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...