Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ghana, na Klabu za Nottingham Forest na Bristol Rovers, Junior Agogo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 40.
Agogo, alianza kucheza soka katika Klabu ya Sheffield Wednesday, ambapo alicheza Ghana michezo 27 na aliifungia mabao 12.
Alimaliza Soka lake katika Klabu ya Hibernian mwaka 2012 pia alicheza katika timu za United States, Cyprus na Egypt.
Agogo alipata Kiharusi mwaka 2015, Agogo alikuwa katika sehemu ya Kikosi hicho kilichoshika nafasi ya tatu katika Michuano ya AFCON 2008.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...