Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ghana, na Klabu za Nottingham Forest na Bristol Rovers, Junior Agogo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 40.

Agogo, alianza kucheza soka katika Klabu ya Sheffield Wednesday, ambapo alicheza Ghana michezo 27 na aliifungia mabao 12.

Alimaliza Soka lake katika Klabu ya Hibernian mwaka 2012 pia alicheza katika timu za United States, Cyprus na Egypt.

Agogo alipata Kiharusi mwaka 2015, Agogo alikuwa katika sehemu ya Kikosi hicho kilichoshika nafasi ya tatu katika Michuano ya AFCON 2008.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...