Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuia ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, akisajili laini yeke kwa kutumia alama za vidole katika banda la kampuni ya simu ya Tigo ambapo Tigo alikuwa mdhamini mkuu wa intaneti ya bure katika Mkutano wa 39 wa wakuu wa Nchi za SADC jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuia ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, akisajili laini yeke kwa kutumia alama za vidole katika banda la kampuni ya simu ya Tigo ambapo Tigo alikuwa mdhamini mkuu wa intaneti ya bure katika Mkutano wa 39 wa wakuu wa Nchi za SADC jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...