Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusine akipokewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku huu. Rais Ramaphosa
amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria
Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini akipeana mikono na Mkuu wa Wilaya ya
Ubungo Mhe. Kisare Makori alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku huu. Wengine
kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo,
Mkuu wa Wiklaya ya Kigamboni Mhe. Mhe. Sarah Misafiri na Mkuu wa
Wilaya ya Ilala Mhe. Sophia Mjema. Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara
rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi
Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini akipeana mikono na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku huu. Kushoto
ni Kamanda wa Kanda Mazlumu ya Kipolisi ya Dar es salaam Lazaro
Mambosasa. Rais Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili
nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama
za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC
Rais Cyril Ramaphosa akiongozana na Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki baada ya kupokewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku huu. Rais Ramaphosa
amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria
Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini kwa Afrika SADC
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...