Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Filbert Bayi (kushoto) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari na wachezaji  wa timu ya Taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco (hawapo pichani) wakati wa kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Rais wa Kamati ya Olimpiki nchini, Gulam Abdalla Rashid na kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo.

 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo  akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari na wachezaji  wa timu ya Taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco wakati wa kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari na wachezaji  wa timu ya Taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco (hawapo pichani) wakati wa kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Maendeleo ya Michezo, Addo Komba na kushoto ni Rais wa Kamati ya Olimpiki nchini (TOC), Gulam Abdalla Rashid.

 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo (kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa nahodha wa timu ya Taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco, Gabriel Geay wakati wa hafla ya kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo (kushoto) akimvalisha  bendera ya Taifa nahodha wa timu ya Taifa inayotarajia kushiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco, Gabriel Geay wakati wa hafla ya kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wachezaji watakaoshiriki mashindano ya All African Games nchini Morocco katika mchezo wa judo na riadha wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Yusuph Singo (hayupo pichani) wakati wa hafla ya kuiaga timu hiyo mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Picha na WHUSM – Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...