Mwanasheria wa Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Faki Shaweji (kulia) na Afisa Maendeleo ya Jamii Victor Rugarabamu (kushoto) wakipitia Katiba ya mmoja wa mdau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali aliyefika kuhuisha Usajili wa asasi yake katika zoezi la kusajili mashirika kwa mujibu wa Sheria ya NGOs Na. 3 ya mwaka 2019 katika Kanda ya Nyanda za Juu Kusini katika Ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya.
Wataalam mbalimbali kutoka Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya kijamii, RITA, BRELA na wasajili wasaidizi kutoka Ofisi ya RAS Mbeya wakiendelea na zoezi la usajili wa wadau wa asasi mbalimbali walioitikia zoezi la kubadili usajili wa mashirika na taasisi zao katika siku ya pili ya usajili huo unaofanyika kwa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini katika Ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya.
Wanasheria wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya jamii) wakipitia nyaraka za wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali waliofika kukamilisha usajili wa mashirika yao wakati wa zoezi la usajili huo linaloendelea katika Mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini katika Ukumbi wa Mkapa jijini Mbeya.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...