Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza
na mamia ya Wamiliki na Waendesha Bajaj na Bodadoda Mkoa
wa Kilimanjaro, katika mkutano uliofanyika Ukumbi wa CCM,
Mjini Moshi, Mkoani humo, leo. Amewapiga marufuku Polisi wa
Usalama Barabarani nchini kuwalipisha faini waendesha bajaj
na bodaboda papo kwa papo wanapofanya makosa barabarani
na kutaka wapewe siku saba kama ilivyokuwa kwa magari.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto)
akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira
alipokua anazungumza na mamia ya Wamiliki na Waendesha
Bajaj na Bodadoda Mkoa wa Kilimanjaro, katika Ukumbi wa
CCM, Mjini Moshi, Mkoani humo, leo. Lugola amewapiga
marufuku Polisi wa Usalama Barabarani nchini kuwalipisha faini
waendesha bajaj na bodaboda papo kwa papo wanapofanya
makosa barabarani na kutaka wapewe siku saba kama
ilivyokuwa kwa magari. Picha na Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza
na mamia ya Wamiliki na Waendesha Bajaj na Bodadoda Mkoa
wa Kilimanjaro, katika mkutano uliofanyika Ukumbi wa CCM,
Mjini Moshi, Mkoani humo, leo. Amewapiga marufuku Polisi wa
Usalama Barabarani nchini kuwalipisha faini waendesha bajaj
na bodaboda papo kwa papo wanapofanya makosa barabarani
na kutaka wapewe siku saba kama ilivyokuwa kwa magari.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mmiliki wa Bajaj Mjini Moshi, akimuuliza swali Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (hayupo pichani),
wakati wa Mkutano wa kutatua changamoto zinazowakabili
wamiliki na waendesha bajaj na bodaboda Mkoani Kilimanjaro.
Mkutano huo uliandaliwa na Chama Cha Mapinduzi Mkoa huo
na kumwalika Waziri Lugola kwa lengo la kuja kuzungumza
katika mkutano huo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...