Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (kushoto), akijadiliana jambo na Waziri wa Biashara na Viwanda, Chris Yaluma (kulia) kutoka Zambia wakati alipomtembelea katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Biashara na Viwanda kutoka Zambia, Chris Yaluma, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati alipomtembelea katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Biashara na Viwanda kutoka Zambia, Chris Yaluma, akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Huduma za Uchukuzi kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Uchukuzi), Aron Kisaka, wakati alipotembelea ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akiagana na Waziri Biashara na Viwanda, Chris Yaluma, kutoka Zambia mara baada ya kukutana na kujadili fursa za uwezekezaji nchini hususan sekta ya usafirishaji katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akisisitiza jambo kwa Waziri Biashara na Viwanda, Chris Yaluma, kutoka Zambia kuhusu masuala ya uwekezaji katika miundombinu ya usafirishaji, wakati alipomtembelea katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...